Rais mstaafu Dkt.Kenneth David Kaunda afariki

NA MWANDISHI DIRAMAKINI

Rais wa Kwanza wa Zambia, Dkt. Kenneth David Kaunda amefariki dunia leo Juni 17,2021 akiwa na miaka 97.
Kaunda anafahamika zaidi kama KK amezaliwa Aprili 28, 1924.

Siku chache zilizopita, Dkt. Kaunda alilazwa katika Hospitali ya Maina Soko jijini Lusaka kufuatia maradhi yaliyokuwa yanamsumbua kwa siku kadhaa.

Dkt.Kaunda aliitawala Zambia kuanzia mwaka 1964 hadi mwaka 1991

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news