Rais Samia atangaza siku saba za maombolezo ya Kitaifa kifo cha Rais Kenneth Kaunda


Rais wa Kwanza wa Tanzania, Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (katikati) akiwa na Hayati Robert Mugabe (Zimbabwe) na Hayati Kenneth Kaunda wa Zambia wakati wa harakati zao za Ukombozi wa Bara la Afrika.Mzee Kaunda amefariki mapema wiki hii na kwa kutambua mchango na umuhimu wa kiongozi huyo na kudumisha mshikamano na Tanzania, Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza siku saba za maombolezo.



Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news