Serikali yatadharisha viashiria vya kutokea wimbi la tatu maambukizi ya Corona Tanzania


Mkurugenzi wa Idara ya Kinga kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Dkt. Leonard Subi akizungumza na Waadishi wa habari leo mkoani Dar es Salaam kuhusu kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa COVID-19 na uwezekano wa kutokea kwa wimbi la tatu la maambukizi ya Ugonjwa wa COVID-19 Nchini.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news