Waziri Mteule wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Liberatha Mulamula akiapa kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Naibu Waziri Mteule wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk akiapa kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. (Picha zote na Wizara ya Mambo ya Nje).
Naibu Waziri Mteule wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk akiapa kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. (Picha zote na Wizara ya Mambo ya Nje).
Tags
Picha