MSIMU mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara umeanza kwa timu za Biashara United kutoka mkoani mara na Namungo FC ya mkoani Lindi kufanya vizuri.


Ni baada ya ushindi wa 1-0 zote dhidi ya Coastal Union ya Tanga na Gwambina FC ya Mwanza ambapo katika Uwanja wa Majaliwa, Ruangwa mkoani Lindi bao pekee la Bigirimana Blaise dakika ya 64 liliwapa wenyeji,Namungo FC ushindi wa 1-0.
Aidha, katika Uwanja wa Karume mjini Musoma mkoani Mara bao pekee Kelvin Friday katika dakika ya 88 limewapa ushindi wa 1-0 timu ya Biashara United.
Aidha, katika Uwanja wa Karume mjini Musoma mkoani Mara bao pekee Kelvin Friday katika dakika ya 88 limewapa ushindi wa 1-0 timu ya Biashara United.
Tags
Michezo