Tangazo la nafasi 5,476 za mafunzo ya ufundi stadi katika fani mbalimbali

DODOMA-Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Ajira na Mahusiano inatekeleza Programu ya Taifa ya Kukuza Ujuzi ambayo inalenga kuwawezesha vijana wa Kitanzania kupata ujuzi wa stadi za kazi stahiki ili kuweza kushindana katika soko la ajira.

Katika kutekeleza programu hii, Ofisi imeingia makubaliano na vyuo 46 vinavyotoa mafunzo ya ufundi stadi yaliyoidhinishwa na Serikali.


Serikali itagharamia ada za mafunzo kwa asilimia 100. Mwanafunzi/Mzazi/Mlezi atawajibika kugharamia gharama nyingine kama nauli ya kwenda na kurudi chuo.Mafunzo yatadumu hadi tarehe 26 Januari 2026.

Waombaji wanatakiwa kuchukua fomu katika Vituo vya Ufundi Stadi (VETA) vya Mikoa na Wilaya vilivyopitishwa na Serikali ambavyo vimeorodheshwa hapa chini;

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news