Rais Samia apewa heshima maalumu ya ukaazi Maputo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea funguo pamoja na nyaraka nyingine kutoka kwa Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Maputo Mhe. Eneas Comiche kama ishara ya kuwa na haki ya Ukaazi kwenye Manispaa hiyo nchini Msumbiji tarehe 22 Septemba, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea funguo pamoja na nyaraka nyingine kutoka kwa Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Maputo Mhe. Eneas Comiche kama ishara ya kuwa na haki ya Ukaazi kwenye Manispaa hiyo nchini Msumbiji tarehe 22 Septemba, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Viongozi mbalimbali mara baada ya kukabidhiwa funguo pamoja na nyaraka nyingine kama ishara ya Ukaazi kwenye Manispaa hiyo nchini Msumbiji tarehe 22 Septemba, 2022
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Maputo Mhe. Eneas Comiche katika ofisi za Halmashauri ya Manispaa ya Maputo nchini Msumbiji kabla ya kuhutubia Viongozi mbalimbali nchini Msumbiji tarehe 22 Septemba, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiagana na Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Maputo Mhe. Eneas Comiche mara baada ya kutembelea ofisi hizo nchini Msumbiji tarehe 22 Septemba, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Maputo Mhe. Eneas Comiche pamoja na viongozi wengine wakiwa kwenye picha ya pamoja mara baada ya kutembelea Ofisi hizo nchini Msumbiji tarehe 22 Septemba, 2022.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news