Nabii Mkuu atoa wito kwa waandishi wa habari nchini

NA BEATRICE MAINA

NABII Mkuu Mhe.Dkt.GeorDavie ambaye pia ni Balozi wa Amani ametoa wito kwa waandishi wa habari hapa nchini kuhabarisha habari zenye tija katika jamii na kuacha kuchapisha picha na kutoa habari zinazodhalilisha viongozi wa nchi.

Ametoa wito huo alipokuwa akifundisha katika ibada ya Chuo Kikuu cha Manabii iliyofanyika katika nyumba ya matamko Ngurumo ya Upako Kisongo jijini Arusha.

Dkt.GeorDavie amesema kuwa, kuna vitu vya kustahi kwa Kiongozi maana ni alama yako na kuongeza kuwa lazima kusitiri viongozi wa nchi.

"Waandishi wa habari acheni kupelekea habari mbaya za viongozi wenu,"amesema Nabii Mkuu Mhe.Dkt.GeorDavie.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news