Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Aprili 20,2024

MOROGORO-Jeshi la Polisi mkoani Morogoro limewatia mbaroni watu watatu kwa tuhuma za mauaji ya Hajirath Shaaban Mshamo (22), mwanafunzi wa mwaka wa tatu Chuo cha Mtakatifu Joseph kilichopo Kata ya Mkundi, Morogoro.

Kamanda wa Polisi wa mkoa huo, Alex Mkama amewataja watuhumiwa hao kuwa ni Tyson Eliakim (20, Elias Lenjement (29) na Fredrick Nongwa (21) wote madereva wa bodaboda wakazi wa Kihonda, Dar es Salaam.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news