MKUU wa Jeshi la Magereza Tanzania CGP Jeremiah Yoram Katungu, ametoa wito kwa Maafisa na askari wataalam wa simu za upepo, kufanya kazi kwa weledi na kuzingatia Sheria, Kanuni na Taratibu zilizopo na kuhakikisha wanatunza siri za ofisi wakati wote wa kutekeleza majukumu yao.
Tags
Kurasa za Magazeti
Kurasa za Mbele na Nyuma za Magazeti
Magazeti
Magazeti ya Leo
Magazetini
Magazetini leo
Yaliyojiri Magazetini Leo























