Magazeti leo Februari 6,2026

Serikali imeiagiza Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) kubuni na kuimarisha njia rahisi za kufikisha matokeo ya tafiti kwa Wizara husika na taasisi nyingine zinazohusika, ili matokeo hayo yafanyiwe kazi na kusaidia kutatua changamoto zinazotokana na mabadiliko ya tabianchi.
Hayo yalibainishwa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Daniel Mushi, wakati wa ufunguzi wa mkutano wa kwanza wa kila mwaka wa maendeleo ya utafiti chini ya Programu ya Utafiti wa Mabadiliko ya Tabianchi.

Profesa Mushi alisema matokeo ya tafiti ni muhimu kwa taifa kwa kuwa yataisaidia Serikali na Wizara husika kupata suluhisho la changamoto mbalimbali, ikiwemo uharibifu wa miundombinu unaosababishwa na mabadiliko ya tabianchi.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here