Magazeti leo Machi 14,2026

Watumishi sita wa Idara ya Afya katika Halmashauri ya Wilaya Kigoma mkoani Kigoma wamefariki baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kutoka Kigoma Mjini kuelekea Kijiji cha Kagunga, Halmashauri ya Wilaya Kigoma kwa shughuli ya kutoa chanjo kukumbwa na dhoruba Ziwa Tanganyika na kupinduka.
Mkuu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa Kigoma, Michael Maganga alisema kuwa tukio hilo lilitokea majira ya saa mbili asubuhi Machi 13, 2026 Kijiji cha Kalalangabo Manispaa ya Kigoma Ujiji na kwamba miili hiyo sita imepatikana.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here