Tume ya Uchunguzi kuwasilisha ripoti yake Aprili 23,2026

DAR-Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Oktoba 29 inatarajiwa kuwasilisha ripoti yake Alhamisi ya Aprili 23,2026 kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Samia Suluhu Hassan.
Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji Othman Chande, wakati akizungumza na waandishi wa habari leo katika ofisi za Tume jijini Dar es Salaam.

Tume hiyo imesema, ripoti hiyo itakuwa msingi muhimu wa kutoa mwelekeo kuhusu matukio hayo.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here