Breaking News: MAJALIWA APITA BILA KUPINGWA UBUNGE WA RUANGWA

 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  (picha ya keanza) akikabidhiwa barua ya kupita bila kupingwa katika jimbo la Ruangwa kwa nafasi ya Ubunge na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya  Ruangwa, Frank Chonya ambaye ni Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Ruangwa, Agosti 25,2020.Kulia ni Mkewe Mary Majaliwa.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Picha ya pili Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akionyesha  barua ya kupita bila kupingwa katika jimbo la Ruangwa kwa nafasi ya Ubunge baada ya kukabidhiwa barua  hiyo na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya  Ruangwa, Frank Chonya ambaye ni Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Ruangwa, Agosti 25,2020.Kulia ni Mkewe Mary Majaliwa.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Kwa habari au matangazo (diramakini@gmail.com) www.diramakini.co.tz

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here