Utabiri wa hali ya hewa Oktoba 25,2020

 
Utabiri wa hali ya hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku wa Oktoba 25, 2020 unawasilishwa na mchambuzi Amina Saleh kutoka Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA).
 
 
Kwa mujibu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), maeneo ya mikoa ya Kagera, Geita na Mwanza yanatarajiwa kuwa na hali ya mawingu, mvua na ngurumo katika maeneo machache na vipindi vifupi vya jua.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Know matter how large or small your business is, advertising here