Dkt.Msolla, Mangungu waenguliwa kuwania Uwenyekiti wa Bodi ya Ligi kwa kukosa sifa

NA MWANDISHI DIRAMAKINI

Mwenyekiti wa Yanga SC, Dkt. Mshindo Msolla na Mwenyekiti wa Simba, Murtaza Mangungu wameenguliwa kuwania Uenyekiti wa Bodi ya Ligi kwa kukosa sifa.
Wakati Mangungu hakutokea kwenye usaili, Msolla ameshindwa kuwasilisha nakala halisi ya vyeti vya taaluma.
Hata hivyo, kuenguliwa kwao kunafanya sasa nafasi hiyo kubakiwa na Mgombea mmoja tu aliyepita, naye ni Steven Mnguto ambaye anatetea nafasi hiyo.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news