PICHA:Kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania


Kulia ni Mjumbe wa Baraza Kuu la Jumuiya ya Wazazi Taifa, Zainabu Zuberi Sige na Diwani wa Viti Maalum Halmashauri ya Wilaya ya Babati mkoani Manyara, Aziza. Wengine ni Lucy Maanda, Zainabu Dodo na Mariam Kwimba (hawapo pichani) wakitoka kwenye Kongamano la UWT la kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwa kazi yake iliyotukuka, kongamano hilo lilifanyika huko Mamaisara jijini Zanzibar hivi karibuni. (Picha na Mary Margwe).

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news