Saido Ntibazonkiza amaliza mkataba Yanga SC, atakiwa kila la heri

NA DIRAMAKINI

UONGOZI wa Klabu ya Yanga yenye maskani yake katika Mtaa wa Jangwani jijini Dar es Salaam umetangaza kuachana na kiungo mshambuliaji raia wa Burundi, Saido Ntibazonkiza.
Hayo ni kwa mujibu wa taarifa waliyoitoa leo Mei 30, 2022 ikieleza kuwa, Mshambuliaji Saido amemaliza mkataba wake wa kuitumikia klabu hiyo.

Klabu ya Yanga imemtakia kila la kheri Mchezaji huyo katika maisha yake ya soka huko atapoelekea baada ya kuwa amemalizana na Yanga.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news