Wadau wa habari akiwemo Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile, Anita Mendoza, Kaimu Mtendaji Mkuu wa TEF, James Marenga, Makamu Mwenyekiti wa MISA TAN na Angela Akilimali, Mjumbe wa Kamati Tendaji ya Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) wakimsikiliza Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe.Jaji Dkt. Eliezer Mbuki Feleshi (anayenakili jambo) ofisini kwake bungeni jijini Dodoma.
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe.Jaji Dkt. Eliezer Mbuki Feleshi (AG) kulia akizungumza na wadau wa habari waliomtembelea ofisini kwake bungeni jijini Dodoma leo.
Angela Akilimali, Mjumbe wa Kamati Tendaji ya Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), akimsikiliza Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe.Jaji Dkt. Eliezer Mbuki Feleshi wakati akizungumza na wadau wa habari ofisini kwake bungeni, jijini Dodoma leo.
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe.Jaji Dkt.Eliezer Mbuki Feleshi (AG) akiangalia nakala ya marekebisho ya sheria aliyokabidhiwa na Deodatus Balile (kushoto), Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), jijini Dodoma wakati TEF na wadau wengine wa habari walipokuwenda kumtembelea AG Feleshi.Wadau wa habari akiwemo Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile,James Marenga, Makamu Mwenyekiti wa MISA TAN na Angela Akilimali, Mjumbe wa Kamati Tendaji ya Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) wakimsikiliza Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe.Jaji Dkt. Eliezer Mbuki Feleshi (anayenakili jambo) ofisini kwake bungeni jijini Dodoma.
Tags
Habari
Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF)
Mwanasheria Mkuu wa Serikali
Sheria ya Habari Tanzania









