Bosi wa Azam FC, wachezaji wapanga mikakati

NA DIRAMAKINI

MMILIKI na Mkurugenzi wa Azam FC, Yusuf Bakhresa jana alikutana na wachezaji kupanga mikakati ya msimu ujao.
Bakhresa aliyekuwa na Mwenyekiti, Nassor Idrissa (Father) amefanya usajili ambao unatajwa kuwa wa aina yake kwa ajili ya kuipa mafanikio timu hiyo msimu wa 2022/2023.
Ni wachezaji ambao wanatajwa kuwa ni wenye viwango vya hali ya juu ambao huenda wakawa msaada mkubwa kwa matajiri hao ambao wamekuwa wakifanya vizuri katika soka la Tanzania.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news