TANESCO:Hatuzimi tena LUKU, tutawaambia

NA DIRAMAKINI

MUDA mfupi baada ya Shirika la UmemeTanzania (TANESCO) kuwataarifu wateja wake kuhusu matengenezo kinga kwenye kanzi data ya mfumo wa manunuzi ya umeme kwa wateja wa malipo ya kabla (LUKU), hivyo wateja kushindwa kununua umeme kwa muda wa siku 4 kuanzia siku ya Jumatatu tarehe 22 hadi 25 Agosti 2022, muda wa saa 4 usiku hadi saa 1 asubuhi wamesitisha zoezi hilo.


Hayo ni kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Agosti 17, 2022 na Kurugenzi ya Mawasiliano na Masuala ya Umma TANESCO makao makuu jijini Dodoma.


Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news