Waziri Prof.Mbarawa ateta na ujumbe kutoka Ubalozi wa India

NA MWANDISHI WETU

WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa amekutana na kufanya mazungumzo na ugeni kutoka Ubalozi wa India nchini Tanzania ukiongozwa na Balozi Binaya S Pradhan, alipomtembelea katika ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam leo.

Katika kikao hicho wamefanya majadiliano mbalimbali kuhusu uboreshaji wa miundomninu ya reli.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news