Jihadhari Saidi Mwinshehe hana mpinzani SHIMIWI

NA MWANDISHI WETU

MCHEZAJI Jihadhari Mwinshehe maarufu kama Shekhe wa Ofisi ya Waziri Mkuu Sera amedhihirisha hana mpinzani katika mchezo wa draft kwenye mashindano ya Shirikisho la Michezo ya Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI).
Ni baada ya kutokufungwa mchezo wowote kuanzia hatua ya makundi hadi kutwaa ubingwa kwa upande wa Wanaume uliofanyika katika ukumbi wa Bwalo la Maafisa wa Polisi jijini Tanga.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news