Orodha ya taasisi, mashirika na wadau walioungana na Rais Samia, Watanzania katika Kumbukizi ya Miaka 23 ya kifo cha Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere

Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alifanya kazi kubwa sana ya kuiletea amani  Jamhuri ya Uganda, kutokana na mchango huo, Waganda na hata Serikali kupitia uongozi wa Rais Yoweri Kaguta Museveni imeendelea kuenzi historia na kutoa heshima kubwa kwa Hayati Mwalimu Julius Nyerere. Pichani ni Rais wa Uganda, Museveni akitia saini katika moja ya picha za Mwalimu Julius Kambarage Nyerere wakati wa Uzinduzi wa Kituo cha Uongozi cha Mwalimu Julius Nyerere hivi karibuni. (PICHA YA HISANI MTANDAO).
ORODHA ZAIDI INAKUJIA HAPA CHINI, ENDELEA KUFUATILIA


Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news