Viwango elekezi vya kubadilisha fedha za kigeni leo Oktoba 5,2022

NA GODFREY NNKO

LEO Paundi ya Uingereza (GBP) inanunuliwa kwa shilingi 2608.46 na kuuzwa kwa shilingi 2634.78 huku Franka ya Rwanda (RWF) inanunuliwa kwa shilingi 2.15 na kuuzwa kwa shilingi 2.19.
Hayo ni kwa mujibu wa taarifa ya viwango elekezi vya kubadilisha fedha za kigeni iliyotolewa leo Oktoba 5, 2022 na Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

Dirham ya Umoja wa Falme za Kiarabu (AED) inanunuliwa kwa shilingi 625.28 na kuuzwa kwa shilingi 631.48 huku Schilling ya Australia (ATS) ikinunuliwa kwa shilingi 147.37 na kuuzwa kwa shilingi 148.68.

Dola ya Zimbabwe (ZWD) inanunuliwa kwa shilingi 0.43 na kuuzwa kwa shilingi 0.44 huku Euro ya Ulaya (EUR) inanunuliwa kwa shilingi 2274.77 na kuuzwa kwa shilingi 2298.44.

Krona ya Sweden (SEK) inanunuliwa kwa shilingi 210.13 na kuuzwa kwa shilingi 212.15 huku Randi ya Afrika Kusini (ZAR) ikinunuliwa kwa shilingi 129.54 na kuuzwa kwa shilingi 130.79.

Kwacha ya Malawi (MWK) inanunuliwa kwa shilingi 2.08 na kuuzwa kwa shilingi 2.22 huku Rupia ya Pakistan (PKR) ikinunuliwa kwa shilingi 9.71 na kuuzwa kwa shilingi 10.29.

Yen ya Japan (JPY) inanunuliwa kwa shilingi 15.86 na kuuzwa kwa shilingi 16.02 huku Yuan ya China (CNY) ikinunuliwa kwa shilingi 322.85 na kuuzwa kwa shilingi 325.85.

Rupia ya India (INR) inanunuliwa kwa shilingi 28.18 na kuuzwa kwa shilingi 28.46 huku Shilingi ya Kenya (KES) inanunuliwa kwa shilingi 19.03 na kuuzwa kwa shilingi 19.18.

Dola ya Marekani (USD) inanunuliwa kwa shilingi 2296.58 na kuuzwa kwa shilingi 2319.55 huku Dinar ya Kuwait (KWD) ikinunuliwa kwa shilingi 7419.82 na kuuzwa kwa shilingi 7483.87.

Shilingi ya Uganda (UGX) inanunuliwa kwa shilingi 0.57 na kuuzwa kwa shilingi 0.60 huku Franka ya Burundi (BIF) ikinunuliwa kwa shilingi 2.19 na kuuzwa kwa shilingi 2.21.

Foreign Exchange Rates in United Republic of Tanzania today October 5th, 2022 according to Central Bank (BoT);
S/NO Currency Buying Selling Mean Transaction Date
1 AED 625.2782 631.4794 628.3788 05-Oct-22
2 ATS 147.3719 148.6777 148.0248 05-Oct-22
3 AUD 1482.9044 1498.1974 1490.5509 05-Oct-22
4 BEF 50.27 50.715 50.4925 05-Oct-22
5 BIF 2.1989 2.2154 2.2071 05-Oct-22
6 CAD 1681.3706 1697.6872 1689.5289 05-Oct-22
7 CHF 2325.1839 2347.4851 2336.3345 05-Oct-22
8 CNY 322.8487 325.8481 324.3484 05-Oct-22
9 DEM 920.2164 1046.0203 983.1184 05-Oct-22
10 DKK 305.9298 308.9562 307.443 05-Oct-22
11 ESP 12.188 12.2955 12.2418 05-Oct-22
12 EUR 2274.7667 2298.4421 2286.6044 05-Oct-22
13 FIM 341.0634 344.0856 342.5745 05-Oct-22
14 FRF 309.1502 311.8848 310.5175 05-Oct-22
15 GBP 2608.4603 2634.7769 2621.6186 05-Oct-22
16 HKD 292.5622 295.484 294.0231 05-Oct-22
17 INR 28.1814 28.4562 28.3188 05-Oct-22
18 ITL 1.0473 1.0566 1.052 05-Oct-22
19 JPY 15.8615 16.0168 15.9391 05-Oct-22
20 KES 19.0272 19.1857 19.1065 05-Oct-22
21 KRW 1.6106 1.625 1.6178 05-Oct-22
22 KWD 7419.8248 7483.8678 7451.8463 05-Oct-22
23 MWK 2.084 2.2222 2.1531 05-Oct-22
24 MYR 494.6337 499.2575 496.9456 05-Oct-22
25 MZM 35.3865 35.6853 35.5359 05-Oct-22
26 NLG 920.2164 928.377 924.2967 05-Oct-22
27 NOK 216.6793 218.7595 217.7194 05-Oct-22
28 NZD 1306.2971 1320.2879 1313.2925 05-Oct-22
29 PKR 9.7062 10.2968 10.0015 05-Oct-22
30 RWF 2.1464 2.1922 2.1693 05-Oct-22
31 SAR 610.7936 616.7376 613.7656 05-Oct-22
32 SDR 2941.1894 2970.6012 2955.8953 05-Oct-22
33 SEK 210.1348 212.1546 211.1447 05-Oct-22
34 SGD 1606.1152 1621.6094 1613.8623 05-Oct-22
35 UGX 0.5772 0.6056 0.5914 05-Oct-22
36 USD 2296.5842 2319.55 2308.0671 05-Oct-22
37 GOLD 3921164.8262 3961327.49 3941246.1581 05-Oct-22
38 ZAR 129.539 130.799 130.169 05-Oct-22
39 ZMW 141.4404 146.807 144.1237 05-Oct-22
40 ZWD 0.4298 0.4384 0.4341 05-Oct-22

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news