Viwango elekezi vya kubadilisha fedha za kigeni leo Machi 13, 2023

NA GODFREY NNKO

LEO Dirham ya Umoja wa Falme za Kiarabu (AED) inanunuliwa kwa shilingi 625.98 na kuuzwa kwa shilingi 632.18 huku Schilling ya Australia (ATS) ikinunuliwa kwa shilingi 147.52 na kuuzwa kwa shilingi 148.83.

Hayo ni kwa mujibu wa taarifa ya viwango elekezi vya kubadilisha fedha za kigeni iliyotolewa leo Machi 13, 2023 na Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

Dola ya Zimbabwe (ZWD) inanunuliwa kwa shilingi 0.43 na kuuzwa kwa shilingi 0.44 huku Euro ya Ulaya (EUR) inanunuliwa kwa shilingi 2434.99 na kuuzwa kwa shilingi 2460.27.

Shilingi ya Uganda (UGX) inanunuliwa kwa shilingi 0.59 na kuuzwa kwa shilingi 0.62 huku Franka ya Burundi (BIF) ikinunuliwa kwa shilingi 2.20 na kuuzwa kwa shilingi 2.22.

Dola ya Marekani (USD) inanunuliwa kwa shilingi 2298.90 na kuuzwa kwa shilingi 2321.89 huku Dinar ya Kuwait (KWD) ikinunuliwa kwa shilingi 7483.64 na kuuzwa kwa shilingi 7556.02.

Paundi ya Uingereza (GBP) inanunuliwa kwa shilingi 2748.11 na kuuzwa kwa shilingi 2776.28 huku Franka ya Rwanda (RWF) ikinunuliwa kwa shilingi 2.09 na kuuzwa kwa shilingi 2.14.

Dola ya Canada (CAD) inanunuliwa kwa shilingi 1661.17 na kuuzwa kwa shilingi 1677.30 huku Franka ya Uswisi (CHF) ikinunuliwa kwa shilingi 2471.67 na kuuzwa kwa shilingi 2495.58.

Shilingi ya Kenya (KES) inanunuliwa kwa shilingi 17.82 na kuuzwa kwa shilingi 17.97 huku Kwacha ya Malawi (MWK) ikinunuliwa kwa shilingi 2.09 na kuuzwa kwa shilingi 2.27.

Krona ya Sweden (SEK) inanunuliwa kwa shilingi 214.19 na kuuzwa kwa shilingi 216.27 huku Randi ya Afrika Kusini (ZAR) ikinunuliwa kwa shilingi 124.41 na kuuzwa kwa shilingi 125.62.

Yen ya Japan (JPY) inanunuliwa kwa shilingi 16.86 na kuuzwa kwa shilingi 17.03 huku Yuan ya China (CNY) ikinunuliwa kwa shilingi 330.11 na kuuzwa kwa shilingi 333.38.

Dola ya Australia (AUD) inanunuliwa kwa shilingi 1517.04 na kuuzwa kwa shilingi 1532.68 huku SDR ya Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) ikinunuliwa kwa shilingi 3042.36 na kuuzwa kwa shilingi 3072.79.

Foreign Exchange Rates in United Republic of Tanzania today March 13rd, 2023 according to Central Bank (BoT);
S/NO Currency Buying Selling Mean Transaction Date
1 AED 625.9771 632.1853 629.0812 13-Mar-23
2 ATS 147.5205 148.8277 148.1741 13-Mar-23
3 AUD 1517.0448 1532.6796 1524.8622 13-Mar-23
4 BEF 50.3207 50.7661 50.5434 13-Mar-23
5 BIF 2.2011 2.2177 2.2094 13-Mar-23
6 CAD 1661.1756 1677.3026 1669.2391 13-Mar-23
7 CHF 2471.6708 2495.5826 2483.6267 13-Mar-23
8 CNY 330.1121 333.3845 331.7483 13-Mar-23
9 DEM 921.1448 1047.0755 984.1102 13-Mar-23
10 DKK 327.2177 330.4523 328.835 13-Mar-23
11 ESP 12.2003 12.3079 12.2541 13-Mar-23
12 EUR 2434.9959 2460.2747 2447.6353 13-Mar-23
13 FIM 341.4074 344.4328 342.9201 13-Mar-23
14 FRF 309.4621 312.1995 310.8308 13-Mar-23
15 GBP 2748.1063 2776.2839 2762.1951 13-Mar-23
16 HKD 292.8649 295.7897 294.3273 13-Mar-23
17 INR 28.0361 28.2975 28.1668 13-Mar-23
18 ITL 1.0484 1.0577 1.053 13-Mar-23
19 JPY 16.8652 17.0326 16.9489 13-Mar-23
20 KES 17.8209 17.9713 17.8961 13-Mar-23
21 KRW 1.7398 1.757 1.7484 13-Mar-23
22 KWD 7483.6452 7556.022 7519.8336 13-Mar-23
23 MWK 2.095 2.2662 2.1806 13-Mar-23
24 MYR 508.9442 513.5788 511.2615 13-Mar-23
25 MZM 35.4222 35.7214 35.5718 13-Mar-23
26 NLG 921.1448 929.3136 925.2292 13-Mar-23
27 NOK 215.2226 217.2854 216.254 13-Mar-23
28 NZD 1405.3182 1419.6036 1412.4609 13-Mar-23
29 PKR 7.8138 8.2776 8.0457 13-Mar-23
30 RWF 2.0884 2.1424 2.1154 13-Mar-23
31 SAR 612.387 618.445 615.416 13-Mar-23
32 SDR 3042.3656 3072.7892 3057.5774 13-Mar-23
33 SEK 214.19 216.2755 215.2327 13-Mar-23
34 SGD 1697.6082 1714.4576 1706.0329 13-Mar-23
35 UGX 0.5949 0.6242 0.6095 13-Mar-23
36 USD 2298.901 2321.89 2310.3955 13-Mar-23
37 GOLD 4219632.7672 4264150.9848 4241891.876 13-Mar-23
38 ZAR 124.4155 125.6257 125.0206 13-Mar-23
39 ZMW 110.5296 114.803 112.6663 13-Mar-23
40 ZWD 0.4302 0.4388 0.4345 13-Mar-23

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news