Wanawake Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (Ujenzi) waadhimisha Siku ya Wanawake Duniani


Baadhi ya wafanyakazi wanawake wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (Ujenzi) wakiwa katika maandamano kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani iliyofanyika kimkoa wilayani Kondoa, Dodoma leo Machi 8,2023.
Kaulimbiu ya Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani kwa Mwaka huu ni Ubunifu na Mabadiliko ya Teknolojia Chachu katika kuleta Usawa wa Kijinsia.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news