Watumishi wanawake BRELA waadhimisha Siku ya Wanawake Duniani


Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), Bw. Godfrey Nyaisa (katikati), akishirikiana na watumishi wa BRELA Bi. Yvone Masele (kushoto) na Bi.Anna Nderingo(kulia), kukata keki Machi 8,2023 ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, katika ofisi za BRELA jijini Dar es Salaam.
Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), Bw.Godfrey Nyaisa, akiwalisha keki baadhi ya watumishi Wanawake wa Taasisi hiyo ikiwa ni ishara ya kuadhimisha siku ya Wanawake Duniani, katika ofisi za BRELA jijini Dar es Salaam.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news