Matukio katika picha, Rais Dkt.Samia azindua mkutano muhimu Afrika


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Mei 19, 2023 amezindua rasmi Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu mtaji wa watu katika kuboresha maendeleo ya Afrika utakaofanyika Julai 25-26, 2023, Katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam.











Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news