Viwango elekezi vya kubadilisha fedha za kigeni leo Juni 13, 2023

NA GODFREY NNKO

LEO Paundi ya Uingereza (GBP) inanunuliwa kwa shilingi 2899.54 na kuuzwa kwa shilingi 2929.47 huku Franka ya Rwanda (RWF) ikinunuliwa kwa shilingi 2.01 na kuuzwa kwa shilingi 2.08.

Hayo ni kwa mujibu wa taarifa ya viwango elekezi vya kubadilisha fedha za kigeni iliyotolewa leo Juni 13, 2023 na Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

Dirham ya Umoja wa Falme za Kiarabu (AED) inanunuliwa kwa shilingi 629.00 na kuuzwa kwa shilingi 635.26 huku Schilling ya Australia (ATS) ikinunuliwa kwa shilingi 148.25 na kuuzwa kwa shilingi 149.56.

Dola ya Zimbabwe (ZWD) inanunuliwa kwa shilingi 0.43 na kuuzwa kwa shilingi 0.44 huku Euro ya Ulaya (EUR) inanunuliwa kwa shilingi 2487.17 na kuuzwa kwa shilingi 2512.97.

Yen ya Japan (JPY) inanunuliwa kwa shilingi 16.58 na kuuzwa kwa shilingi 16.75 huku Yuan ya China (CNY) ikinunuliwa kwa shilingi 323.51 na kuuzwa kwa shilingi 326.65.

Dola ya Australia (AUD) inanunuliwa kwa shilingi 1561.47 na kuuzwa kwa shilingi 1577.55 huku SDR ya Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) ikinunuliwa kwa shilingi 3077.43 na kuuzwa kwa shilingi 3108.20.

Dola ya Canada (CAD) inanunuliwa kwa shilingi 1732.18 na kuuzwa kwa shilingi 1748.98 huku Franka ya Uswisi (CHF) ikinunuliwa kwa shilingi 2550.18 na kuuzwa kwa shilingi 2574.54.

Shilingi ya Uganda (UGX) inanunuliwa kwa shilingi 0.59 na kuuzwa kwa shilingi 0.62 huku Franka ya Burundi (BIF) ikinunuliwa kwa shilingi 2.21 na kuuzwa kwa shilingi 2.23.

Shilingi ya Kenya (KES) inanunuliwa kwa shilingi 16.57 na kuuzwa kwa shilingi 16.71 huku Kwacha ya Malawi (MWK) ikinunuliwa kwa shilingi 2.09 na kuuzwa kwa shilingi 2.25.

Krona ya Sweden (SEK) inanunuliwa kwa shilingi 213.99 na kuuzwa kwa shilingi 216.08 huku Randi ya Afrika Kusini (ZAR) ikinunuliwa kwa shilingi 124.66 na kuuzwa kwa shilingi 125.85.

Dola ya Marekani (USD) inanunuliwa kwa shilingi 2310.21 na kuuzwa kwa shilingi 2333.31 huku Dinar ya Kuwait (KWD) ikinunuliwa kwa shilingi 7518.49 na kuuzwa kwa shilingi 7591.21.

Foreign Exchange Rates in United Republic of Tanzania today June 13th, 2023 according to Central Bank (BoT);
S/NO Currency Buying Selling Mean Transaction Date
1 AED 629.0046 635.26 632.1323 13-Jun-23
2 ATS 148.2461 149.5597 148.9029 13-Jun-23
3 AUD 1561.4695 1577.5509 1569.5102 13-Jun-23
4 BEF 50.5682 51.0158 50.792 13-Jun-23
5 BIF 2.2119 2.2286 2.2202 13-Jun-23
6 CAD 1732.1796 1748.9768 1740.5782 13-Jun-23
7 CHF 2550.1798 2574.5448 2562.3623 13-Jun-23
8 CNY 323.5087 326.6477 325.0782 13-Jun-23
9 DEM 925.6753 1052.2255 988.9504 13-Jun-23
10 DKK 333.8403 337.1299 335.4851 13-Jun-23
11 ESP 12.2603 12.3685 12.3144 13-Jun-23
12 EUR 2487.1699 2512.9749 2500.0724 13-Jun-23
13 FIM 343.0866 346.1268 344.6067 13-Jun-23
14 FRF 310.9842 313.735 312.3596 13-Jun-23
15 GBP 2899.5419 2929.4707 2914.5063 13-Jun-23
16 HKD 294.9026 297.8402 296.3714 13-Jun-23
17 INR 28.0195 28.2809 28.1502 13-Jun-23
18 ITL 1.0535 1.0629 1.0582 13-Jun-23
19 JPY 16.5832 16.7478 16.6655 13-Jun-23
20 KES 16.5725 16.7143 16.6434 13-Jun-23
21 KRW 1.7952 1.812 1.8036 13-Jun-23
22 KWD 7518.4949 7591.2093 7554.8521 13-Jun-23
23 MWK 2.0907 2.2517 2.1712 13-Jun-23
24 MYR 500.3699 504.7177 502.5438 13-Jun-23
25 MZM 35.5965 35.8971 35.7468 13-Jun-23
26 NLG 925.6753 933.8843 929.7798 13-Jun-23
27 NOK 214.0965 216.1853 215.1409 13-Jun-23
28 NZD 1415.9264 1431.019 1423.4727 13-Jun-23
29 PKR 7.6428 8.1114 7.8771 13-Jun-23
30 RWF 2.0099 2.0775 2.0437 13-Jun-23
31 SAR 616.0554 622.1828 619.1191 13-Jun-23
32 SDR 3077.428 3108.2022 3092.8151 13-Jun-23
33 SEK 213.9894 216.0772 215.0333 13-Jun-23
34 SGD 1720.5689 1737.1277 1728.8483 13-Jun-23
35 UGX 0.5962 0.6256 0.6109 13-Jun-23
36 USD 2310.208 2333.31 2321.759 13-Jun-23
37 GOLD 4527545.4832 4579587.537 4553566.5101 13-Jun-23
38 ZAR 124.6611 125.8473 125.2542 13-Jun-23
39 ZMW 114.918 119.3509 117.1345 13-Jun-23
40 ZWD 0.4323 0.4411 0.4367 13-Jun-23

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news