Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Septemba 14,2023



















Mtoto wa Bosi kanipenda, nimemuoa ila changamoto ni hii!
=============================
Nafanya kazi katika moja ya shule za sekondari mkoani Kagera, nimefanya kazi katika shule hii kama mwalimu wa Biology na Chemistry kwa miaka minne sasa.

Shule hii ina wanafunzi kuanzia Primary hadi Form Six, hivyo kuna walimu wanaofundisha masomo mbalimbali katika shule hii.

Kutokana na ukubwa wa shule hii na idadi kubwa ya wanafunzi kuwa wengi, kuna viongozi mbalimbali wa shule na mwenye shule zote ameweza kuwapa watoto wake nafasi mbalimbali katika shule yake.

Miongoni mwa watoto wake kuna mke wangu ambaye anaitwa Upendo ambaye ndiye mtoto wake wa kwanza.

Kazi kubwa ambayo alikuwa anafanya ni kusimamia mishahara ya wafanyakazi wa shule zote, hivyo alikuwa anajua yupi anapata mshahara mkubwa au mshahara mdogo na shughuli mbalimbali za shuleni.

Katika harakati zangu za kufanya kazi, Upendo aliweza kuwa mtu wa karibu sana kwangu japo alikuwa ni Bosi wangu pia ni mtoto wa Bosi mkubwa.

Ukaribu wangu na yeye ndiye mwenyewe aliuanzisha kwa sababu upande wangu mimi ilikuwa ngumu kuweza kumsogelea Bosi wangu.

Upendo alianza tabia ya kuja kwenye laboratory yetu kisha kuuliza changamoto ambazo tunakutana nazo na vipi watoto wataweza kusoma masomo ya sayansi bila shida yoyote, hivyo ndiyo ukaribu wetu ulipoanzia.

Ilifika hatua ananiita ofisini kwake kisha tukabadilishana namba za simu, hatimaye tukajikuta wote tupo katika mahusiano ya kimapenzi.

Tuliweza kuwa katika mahusiano ya kimapenzi kwa muda wa miaka miwilli hatimaye tukaweka wazi mahusiano yetu na kuandaa taratibu za kufunga ndoa.

Nakumbuka siku ya ndoa nilipokea zawadi nyingi kutoka kwa walimu wenzangu, kutoka kwa wakuuu wa shule zote mbili, kutoka kwa wanafunzi wangu na watu mbalimbali.

Siku hiyo, pia Baba yake mazazi alinipatia zawadi ya gari nyeusi, ndio zawadi ambayo ilikuwa kubwa kuzidi zawadi nilizopewa siku hiyo.

Baada ya ndoa maisha yaliendelea vizuri mimi nikaendelea kufanya kazi yangu kama inavyotakiwa pia mke wangu Upendo akaendelea kufanya kazi yake.

Miaka miwili tangu tufunge ndoa mke wangu Upendo alianza kubadilika sana na kuniona mimi sifai katika jamii, alianza kutoka kazini amechelewa hali ya kuwa ilikuwa siyo kawaida yake na nikimuuliza anasema kuwa ni majukumu ya kazi tu, hivyo mimi nilikuwa nanyamaza na kusubiri kipi kitatokea kesho.

Nilivumilia hali hiyo kwa miezi sita, ndipo nikajua kuwa ana mahusiano ya kimapenzi na mwalimu wa taaluma, Mwalimu huyo kwa majina anaitwa Magezi.

Nilivyogudua hivyo niliweza kumkalisha chini mke wangu na kumuomba asitishe mahusiano na huyo mtu, ila alinijibu kuwa wivu wa mapenzi ndio unanisumbua ila hamna kitu chochote kinaenderea kati yao.

Hali hiyo ilinifanya nikose amani kazini, kumbuka tunafanya kazi katika shule moja, ilinibidi niandike barua kwa ajili ya kuacha kazi shuleni pale.

Yeye mwenyewe mke wangu aliipitisha kwa haraka sana, kisha nikaanza kujishughulisha na kilimo cha michicha na kufuga nguruwe kwa ajili ya kuuza pamoja na kuku wa mayai.

Niliacha kazi nikidhani kuwa kwa sababu yeye ndio ananilipa mshahara ndio maana ananidharau na kutembea na wanaume wengine mbele yangu pia nilihisi kwa kuwa yeye ndiye Bosi basi anatumia nafasi hiyo kuninyanyasa.

Walimu wenzangu walikuwa wananipigia simu kunijulia hali na wengine tunakutana kubadilishana mawazo ila kila mmoja alikuwa ananambia kuwa mke wangu Upendo anachokifanya na jamaa shuleni ni balaa!.

Katika mazungumzo ndipo mwalimu mwenzangu Eliud akaniambia kuwa, kuna mtu anaweza kunisaidia mke wangu kubadilika na kufanya ninachokihitaji mimi kwa muda mchache tu.

Alipomaliza kuongea alishika mfukoni na kutoa simu yake kisha akaanza kunisomea namba hii +254 769404965 ambayo ni ya African Doctors.

Nilipiga simu kisha nikaongea naye kwa muda wa dakika kama 35, kisha African Doctors akaniambia kuwa ana uwezo wa kunisaidia nilipo.

Hazikuweza pita siku kadhaa mke wangu Upendo alianza kubadilika na kuniheshimu kama mume wake na hatimaye nikarudi shule na kupandishwa cheo.

Na kwa sasa ni miaka sita imepita tangu nipate usaidizi kutoka kwa African Doctors, naishi vizuri na mke wangu kwa amani, furaha na upendo umetawala katika familia yetu.

African Doctors wanatatua shida mbalimbali kama kupandishwa cheo kazini, kupata uzazi kwa kina mama, kushinda michezo ya bahati nasibu na mengine mengine.

Wasiliana na African Doctors kwa namba; +254 769 404965, tembelea tovuti yao; www.african-doctors.com au watumie email; africandoctorheals@gmail.com

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news