Mo Dewji ateua wajumbe wa Bodi ya Baraza la Ushauri Simba Sports Company Limited

DAR ES SALAAM-Rais wa heshima wa Klabu ya Simba, Mohamed Dewji ‘Mo’ amefanya uteuzi wa wajumbe 21 wa Baraza la Ushauri wa klabu kwa ajili ya maendeleo.

Moja ya majukumu ya Rais wa heshima ni kuhakikisha uongozi na utawala bora unazidi kuboreshwa kila wakati ili kuzidi kusukuma gurudumu la maendeleo ya klabu.

Baada ya kushauriana na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi na Mwenyekiti wa Klabu ya Simba, Mo amewateua wafuatao kuwa Wajumbe wa Baraza la Ushauri ( Advisory Board) wa klabu.

1. Jaji Thomas Mihayo M/kiti
2. Hassan Dalali-Mjumbe
3. Ismail Aden Rage-Mjumbe
4. Evans Aveva-Mjumbe
5. Faroukh Baghoza
6. Swedi Nkwabi-Mjumbe
7. Azim Dewji-Mjumbe
8. Kassim Dewji-Mjumbe
9. Musleh Al-Ruweh-Mjumbe
10. Mohamed Nassor-Mjumbe
11. Mulamu Ng’ambi-Mjumbe
12. Octavian Mshiu-Mjumbe
13. Prof Mohamed Janabi-Mjumbe
14. Hassan Kipusi-Mjumbe
15. Geofrey Nyange-Mjumbe
16. Gerald Yambi-Mjumbe
17. Moses Kaluwa-Mjumbe
18.Crescentius Magori-Mjumbe
19. Juma Pinto- Mjumbe
20. Mwina Kaduguda-Mjumbe
21. Idd Kajuna-Mjumbe

Kazi kubwa ya baraza hili itakuwa ni kuishauri Bodi juu ya maendeleo ya klabu Uongozi na Utawala bora.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news