Wajiondoa Jumuiya ya ECOWAS

NIAMEY-Nchi tatu za Afrika Magharibi zinazoongozwa na wanajeshi ikiwemo Jamhuri ya Niger, Mali na Burkina Faso zimesema zinajiondoa kwenye Jumuiya ya Uchumi ya Nchi za Afrika Magharibi ( ECOWAS).
Hayo ni kwa mujibu wa taarifa ya pamoja iliyosomwa kwenye televisheni ya taifa ya Niger leo Januari 28,2024.

“Baada ya miaka 49, watu mashujaa wa Burkina Faso, Mali na Niger kwa masikitiko makubwa wanaona kwamba ECOWAS haizingatii tena maadili ya waasisi wake na msingi wa Afrika iliyoungana.

"Jumuiya hiyo ilishindwa kabisa kuzisaidia nchi hizo katika vita vyao dhidi ya ugaidi na usalama mdogo,” msemaji wa utawala wa kijeshi wa Niger, Kanali Abdramane Amadou amesema katika taarifa;

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news