Jinsi penzi letu lilianzia WhatsApp na sasa tuna watoto!

NAKURU-Jina langu Mozani natokea Dodoma, Tanzania, mwaka 2015 baada ya kumaliza kidato cha nne, wakati huo nilikua najishughulisha na kilimo cha mboga mboga, niliwekwa katika kundi la WhatsApp na rafiki mmoja ambaye tulisoma wote.
Basi group lilikuwa na watu mbalimbali wengi wetu tulisoma wote na wengine tulifahamiana kupitia hilo group, basi katika harakati za admin kuongeza members wa group akatuma picha ya dada mmoja hivi akitupa taarifa kuwa ni member mpya tutakua nae soon.

Baada ya kuingia katika lile kundi letu akaomba na pacha wake awekwe kwenye lile kundi na akatuma na picha yake, kwa kweli nilivutiwa sana na huyu pacha wa huyo dada, lakini nikajisemea moyoni siwezi kumpata tuko mikoa tofauti.

Basi kama kawaida ya makundi ya vijana utani huwa mwingi sana basi katika utani nikajikuta nipo inbox ya yule dada tukipiga stori mbalimbali na hatimaye nikamtongoza na akakubali ombi langu.

Huo ndio ulikuwa mwanzo wa uhusiano wetu na huyo dada, wakati huo yeye alikuwa chuo na mimi napambana na kilimo, mwanzoni sikuupa maana sana huu uhusiano lakini mambo yalikuwa tofauti kadri siku zinavyoenda.

Mwaka 2017 niliachana na shughuli za kilimo na kuanza kusomea ufundi wa umeme wa majumba, kipindi hiki changamoto zilidi kupamba moto ikafika kipindi hadi tukaacha kuwasiliana ila mambo yakakaa sawa tena.

Mnamo 2020 yule dada alimaliza masomo yake na mimi nilimaliza chuo na wote tulifaulu, baada ya kumaliza nilirudi nyumbani ili nipambane na maisha na wakati huo yule dada alitoka kwao na kwenda kwa kaka yake huko Moshi.

Alienda kufanya kazi ambayo alitafutiwa na huyo kaka yake, wakati wote huo bado tulikuwa tunawasiliana na akaniahidi atanitafutia na mimi kazi.

Kiukweli nilijua kuwa sasa hakuna jipya tena akishapata kazi hawezi nikumbuka na mawasiliano yataishia hapo lakini baada ya muda alinipa taarifa kuwa kuna kiwanda wanachukua watu kama nitaweza nifanye mpango niende.

Niliwaza sana nini nifanye kwani nilikuwa nasita sana lakini pia nilikua natamani sana kukutana na huyu dada, nikapiga moyo konde na kuanza mipango ya kwenda Moshi kufanya hiyo kazi.

Nilipopata tu nauli niilianza safari ya kutoka kwetu Dodoma na kwenda Moshi na nilifikia kwa kaka yangu na siku iliyofuata akanipeleka kwenye hicho kiwanda na kufuatilia hiyo kazi na nikafanikiwa kupata hiyo kazi.

Baada ya muda mfupi nilikutana na yule dada ambaye mahusiano yetu yalikuwa ni ya WhatsApp tu, niligundua vitu vingi sana kuhusu huyu dada kubwa ya yote alikuwa na imani kubwa sana na mimi ingawa mimi sikuwahi kudhani kama tutafika kokote.

Basi baada ya muda alinipeleka kwa kaka yake kujitambulisha na baada ya muda tukaamua tuanze maisha yetu rasmi, baada ya kuoana ilichukua miaka minne bila kupata mtoto, wasiwasi ulianza kunijaa na kuwaza kama niliingia mkenge kwa huyo dada.

Sikukata tamaa naye, nilianza kutafuta tiba hadi nilipokutana na Kiwanga Doctors ambao walimpatia dawa ya mitishamba, hiyo ni baada ya kusikia tangazo lao katika redio na kuchukua namba yao ambayo ni +254 769 404965.

Baada ya kumtumiwa dawa zake, mke wangu alitumia kwa mujibu wa maelekezo yake na kweli muda sio mrefu alibeba ujauzito, kwa sasa tuna watoto wawili wenye afya tele.

Siku zote kumbuka Kiwanga Doctors anatoa huduma kama kusafisha nyota, kusuluhisha migororo ya ndoa, mahusiano, mapenzi na familia, kumfunga mume au mke asitoke nje ya ndoa, anatoa tiba kwa wanaotafuta watoto.

Vilevile anatoa huduma ya kukusaidia kupata kazi au ajira, kupandishwa cheo na mshahara kazini, kuwasaidia wenye urahibu wa dawa za kulevya, sigara na pombe, kwa wanaotafuta mume au mke pia anawasaidia tena ndani ya siku chache.

Anatibu magonjwa kama kisukari, msukumo wa damu (BP), upungufu wa nguvu za kiume, miguu kuwaka moto n.k, pia anaweza kuisadia biashara yako kunawiri, na huduma zote hizi unaweza kuzipata bila kufika ofisini kwake.Basi chukua hatua ya kuwasiliana na Kiwanga Doctors kwa namba; +254 769 404965.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news