SHINYANGA-Mtoto mchanga wa kike aliyeibwa Agosti 20,2024 saa 12:00 jioni katika Kijiji cha Mbika katika Kituo cha Afya Ushetu wilayani Kahama Mkoa wa Shinyanga amepatikana akiwa hai.
Hayo yamebainishwa Agosti 24,2024 na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Janeth Magomi ambapo amesema, mtoto huyo alizaliwa Agosti 17,2024 na aliendelea kuwepo kituo cha afya kwa uangalizi zaidi,lakini siku ya tukio baada ya Mama yake mzazi kutoka nje kufanya mazoezi ndipo mtuhumiwa alimuiba mtoto huyo.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhA9mBNhL38154MHRFEkv3vD8pA7TkEc-T8JXLRDioGU2gkbWg80D-zIp0tEJN8kLYYtWhuOBjRQno9Yx5LKLVUmEDvoRYWpv4UzwfHVh1eWzfscGhyKtTygVKUHTn4eeDGUKkKRv7pEGGQsnxAH-mlk6UZVvVqgQ2vSJc2FN_6qKN_JC3RUghgtVmHa0E/s16000/20240824_223617.jpg)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi18jO3HxTI7JuDJktEU6Y8gfsuC6PFg5wFv8jlImXVi8iZ3Tl-HAVlvkyIp68Y38DCkuqSFdlLx8mYsvghfYZZYqAajCzkYrDDxZRdN8YeKgmpMSnmQ6esd8j2WEeUV8lAqqVUd14HJFUr4LFkXgFCqJDiING9SqdaHY3Z_KqhxhxKMhqiOYy5f1OOgVo/s16000/IMG-20240824-WA0079.jpg)
Tags
Kurasa za Magazeti
Kurasa za Mbele na Nyuma za Magazeti
Magazeti
Magazeti ya Leo
Magazetini
Magazetini leo
Yaliyojiri Magazetini Leo