Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali yatoa mafunzo elekezi kwa waajiriwa wapya


Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Asha Hayeshi akiwasilisha mada kuhusu Muundo wa Ofisi hiyo wakati wa mafunzo elekezi kwa waajiriwa wapya wa Ofisi hiyo yaliyofanyika mkoani Pwani.
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Asha Hayeshi akiwasilisha mada kuhusu Muundo wa Ofisi hiyo wakati wa mafunzo elekezi kwa waajiriwa wapya wa Ofisi hiyo yaliyofanyika mkoani Pwani.
Mhadhiri Mkuu wa Idara ya Kumbukumbu, Nyaraka na Taarifa wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania, Ndugu Said Hassan akitoa mada kuhusu Maadili katika Utumishi wa Umma wakati wa mafunzo elekezi kwa waajiriwa wapya wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali yaliyofanyika mkoani Pwani.
Afisa Kumbukumbu wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Ndugu Athumani Zunda akitoa mada kuhusu Ofisi Mtandao (e-Office) wakati wa mafunzo elekezi kwa waajiriwa wapya wa Ofisi hiyo yaliyofanyika mkoani Pwani.
Baadhi ya waajiriwa wapya wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakimsikiliza Mhadhiri Mkuu wa Idara ya Kumbukumbu, Nyaraka na Taarifa wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania, Ndugu Said Hassan (hayupo pichani) wakati wa mafunzo elekezi kwa waajiriwa hao yaliyofanyika mkoani Pwani.
Wakili wa Serikali wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Ndugu Ditrick Luambano akichangia mada kuhusu Muundo wa Ofisi hiyo wakati wa mafunzo elekezi kwa waajiriwa wapya wa Ofisi hiyo yaliyofanyika mkoani Pwani.
Wakili wa Serikali wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Mary Lussesa akichangia mada kuhusu Maadili katika Utumishi wa Umma wakati wa mafunzo elekezi kwa waajiriwa wapya wa Ofisi hiyo yaliyofanyika mkoani Pwani.
Baadhi ya waajiriwa wapya wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakimsikiliza Mhadhiri Mkuu wa Idara ya Kumbukumbu, Nyaraka na Taarifa wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania, Ndugu Said Hassan (hayupo pichani) wakati wa mafunzo elekezi kwa waajiriwa hao yaliyofanyika mkoani Pwani.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news