Kondegang yatoa onyo kali kwa msanii Ibraah

DAR-Lebo ya Muziki ya Kondegang chini ya Harmonize Entertainment Limited ambayo ilikuwa ikisimamia kazi za muziki za msanii Ibraah katika kipindi chote cha mkataba wake, imetoa onyo kali kwa msanii wake huyo kufuatia kauli zake, na matamshi yake anayoendelea kuyatoa kwenye vyombo mbalimbali vya habari ikiwemo mitandao ya kijamii.

Konde Gang imesema Ibraah bado ni msanii halali wa lebo hiyo na afuate taratibu husika zilizoelekezwa kwenye mkataba wake lasivyo atachukuliwa sheria kali.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news