Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika amewakosoa waliokuwa viongozi wa chama hicho waliotangaza kuachana nacho hivi karibuni kwa kile walichodai ni kubaguliwa ndani ya chama hicho akisema viongozi hao walikataa kukutana na uongozi mpya katika vikao.
Tags
Kurasa za Magazeti
Kurasa za Mbele na Nyuma za Magazeti
Magazeti
Magazeti ya Leo
Magazetini
Magazetini leo
Yaliyojiri Magazetini Leo













