Magazeti leo Mei 17,2025

BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limepitisha shilingi 291,533,139,000 kwa ajili ya utekelezaji wa majukumu na vipaumbele vya wizara hiyo, kwenye Mkutano wa 19 wa Bunge uliofanyika mjini Dodoma Mei 16, 2025.
Katika fedha hizo, shilingi 14,485,656,000 ni kwa ajili ya matumizi ya kawaida na kati ya hizo, shilingi 6,958,609,000 ni kwa ajili ya mishahara (PE) na shilingi 7,527,047,000 ni kwa ajili ya matumizi mengineyo.

Aidha, wizara inakadiriwa kutumia shilingi 277,047,438,000 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo ambapo kati ya fedha hizo, shilingi 98,480,905,000 ni fedha za ndani na shilingi 178,566,578,00 ni fedha za nje.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news