Magazeti leo Mei 18,2025

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango, ameondoka nchini Mei 17, 2025 kuelekea Brasilia, Brazili, kumwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Pili wa Brazili na Afrika kuhusu usalama wa chakula, mapambano dhidi ya njaa na maendeleo vijijini.
Mkutano huo unaotarajiwa kufanyika kuanzia Mei 20 hadi 23, 2025, utawakutanisha wakuu wa nchi na wa serikali, mawaziri wa kilimo kutoka Afrika, mashirika ya kimataifa, Benki ya Dunia pamoja na wataalamu mbalimbali kutoka duniani kote.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news