Benki Kuu ya Tanzania (BoT) katika Wiki ya Utumishi wa Umma

DODOMA-Benki Kuu ya Tanzania (BoT) inaendelea kushiriki kikamilifu katika Maadhimisho ya Kitaifa ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayofanyika katika Viwanja vya Chinangali Park, jijini Dodoma kuanzia tarehe 16 hadi 23 Juni 2025.
Katika maadhimisho haya, wataalamu kutoka BoT wanatoa elimu kwa wananchi kuhusu masuala mbalimbali ikiwemo namna ya kuwekeza katika dhamana za Serikali, elimu kuhusu mikopo, pamoja na utambuzi wa alama za usalama zilizopo kwenye noti halali za Tanzania.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news