Magazeti leo Juni 18,2025


NAITWA Mama Suma kutokea Rombo, niliolewa mwaka 2019, mimi na mume wangu tunapendana sana ila kuna jambo fulani kipindi cha katikati karibia livunje ndoa yetu.

alo ni kwamba mume wangu ilikuwa anasusa kula chakula cha usiku, yaani kila nikitaka kumpa haki yake ya ndoa alikuwa anasema amechoka, mara hajisikiii, basi ni limradi tu asishiriki tendo hilo.

Nilikuwa na wasiwasi mkubwa sana na mashaka mengi, nilisema huyo atakuwa na mpango wa kando huko nje ambao unampatia mapenzi ya kutosha, hivyo akija kwangu anakuwa hana hamu tena.
Usiku mmoja niliamua kumuuliza kuhusu hilo, alikataa kabisa kuwa mpango wa kando, lakini nikamwambia anipatie haki yangu hakuwa tayari kufanya hivyo.

Ndipo kakachoka hali hiyo na kuamua kuchukua vitu vyangu na kurudi kwa wazazi wangu maana sikuona sababu ya kuendelea kuishi na mwanaume ambaye hanitumiziii mahitaji yangu ya kindoa.

Nilikaa kwa wazazi wangu miezi mitatu, ndipo mume wangu alikuja nyumbani kwetu kunibembeleza nirudi nyumbani, nilimkatalia kabisa na kusema siwezi hadi pale ambapo atakuwa ananitimizia...

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news