Mdomo wamponza Kocha Mkuu wa Simba SC, kamati ya bodi yatoa adhabu

DAR-Kocha wa Klabu ya Simba, Fadlu Davis ametozwa faini ya shilingi molioni mbili kwa kosa la kuishutumu Bodi ya Ligi Kuu Tanzania kuwa ina ajenda tofauti kuhusiana na ratiba ya michezo ya klabu hiyo kwenye Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara.
Adhabu hiyo imetokewa na Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) baada ya kocha huyo kuzungumza hayo kwenye mahojiano na Azam TV;

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news