Rais Dkt.Mwinyi ajumuika na wananchi katika mazishi ya marehemu Abdallah Mohammed Bomba

ZANZIBAR-Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amejumuika na wananchi mbalimbali katika mazishi ya marehemu Abdallah Mohammed Bomba aliyefariki dunia jana.
Mapema, Alhaj Dkt. Mwinyi alishiriki sala ya maiti iliyofanyika katika Msikiti wa Mubarak Mazrui, Mombasa, Mkoa wa Mjini Magharibi.
Marehemu Abdallah Bomba amefariki jana wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Mkoa ya Lumumba na amezikwa katika makaburi ya familia yao, Kwarara, Wilaya ya Magharibi B, Mkoa wa Mjini Magharibi.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news