TRA:Kanusho kuhusu kupandisha viwango vya kodi baada ya uchaguzi

DAR-Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imekanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni zikidai kuwa, kuna mpango wa kuongeza kiwango cha chini cha mapato kinachotozwa kodi baada ya uchaguzi mkuu ujao.

Kwa mujibu wa taarifa hizo za mitandaoni, kiwango cha chini cha mapato kitakachotozwa kodi kingepandishwa hadi shilingi 700,000.

TRA imetoa kanusho hilo  leo Juni 11,2025, ikieleza kuwa, taarifa hizo ni za uongo na hazijatolewa na mamlaka hiyo;

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news