Waziri Mkuu azindua mitambo ya uchorongaji na vifaa vya utafiti kwa wachimbaji wadogo

DODOMA-Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Juni 24, 2025 amezindua mitambo ya uchorongaji na vifaa vya utafiti kwa wachimbaji wadogo kupitia Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) katika hafla iliyofanyika kwenye viwanja vya Kituo cha Mikutano cha Jakaya Kikwete jijini Dodoma.
Utoaji wa mitambo hiyo ni utekelezaji wa maono na msukumo wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuwawezesha wachimbaji wadogo kutokana na mchango wao katika kuzalisha ajira, kuboresha kipato cha mtu mmoja mmoja na kukuza uchumi wa Taifa.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news