Air Tanzania na Kenya Airways zaingia makubaliano

DAR-Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) na Kenya Airways (KQ) leo imetia saini makubaliano ya kwanza ya aina yake ya kushirikiana katika kubadilishana ujuzi wa kiufundi kuhusu uendeshaji, huduma za mizigo na kuimarisha ubora wa huduma za pamoja.
Makubaliano haya yanalenga kujenga uwezo wa ndani kwa vitendo na kuimarisha mashirika yetu kwa maendeleo endelevu ya sekta ya usafiri wa anga barani Afrika.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news