EWURA yatangaza bei mpya za mafuta ya petroli,diezeli na mafuta ya taa kwa mwezi Julai,2025

DAR-Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini zitakazotumika kuanzia Jumanne ya tarehe 1 Julai 2025 saa 6:01 usiku sawia na Sheria ya Fedha ya Mwaka 2025 ambayo itaanza kutumika kuanzia tarehe 1 Julai 2025.Kwa mwezi Julai 2025, bei za rejareja na za jumla katika mikoa ya Dar es Salaam, Tanga na Mtwara ni kama zinavyoonekana katika Jedwali Na. 1 na 2, mtawalia;

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news