Naibu Gavana mstaafu,Juma Reli aipongeza BoT

DAR-Naibu Gavana mstaafu wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Bw. Juma Reli ameipongeza BoT kwa juhudi zake katika kusimamia maendeleo ya uchumi wa nchi, kuimarisha sekta ya fedha, kuboresha mifumo ya malipo, pamoja na kuendeleza huduma jumuishi za fedha kwa wananchi.
Bw. Reli ametoa pongezi hizo wakati wa ziara yake katika banda la Benki Kuu kwenye Maonesho ya Sabasaba yanayoendelea jijini Dar es Salaam. 
Alieleza kuwa hatua na mikakati mbalimbali ya Benki Kuu imeendelea kuchochea ustawi wa uchumi na kuongeza ushirikishwaji wa wananchi wengi zaidi katika huduma za fedha.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news