CCM yatoa orodha ya wagombea ubunge 2025, tazama majina hapa

DODOMA-Kamati Kuu ya Halmashauri ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa,katika kikao chake kilichofanyika tarehe 28 Julai, 2025 jijini Dodoma, pamoja na mambo mengine, imepitia na kujadili majina ya wanachama wake walioomba kupendekezwa katika mchakato wa kura za maoni ndani ya CCM.
Kwa kuzingatia mamlaka iliyopewa chini ya Ibara ya 105 (7)(f) ya Katiba ya CCM ya Mwaka1977 Toleo la Julai 2025, Kamati Kuu imefanya uteuzi wa majina ya wanachama wafuatao, ambao watapigiwa kura za maoni kwamujibu wa Kanuni na Kalenda za Chama Cha Mapinduzi.
































Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news